WIKI hii kwa hakika sisi wavuja jasho, wafyeka nyasi na wasaka nyoka; (usishangae haya yote ni majina yetu sisi tusio na kitu na tusio na pa kuegemea), tulipata taarifa ambayo ilitufanya tushushe pumzi.
Taarifa hii, ilitufanya tushushe pumzi si kwa sababu tumezinduka, bali pia ni kwa sababu tumestuka na kuanza kuona 'heehh hivi tunayoyashuhudia ni ya kweli au tunaota ndoto au ni jinamizi?
Kwa hakika imetustua, kwa sababu hakuna miongoni mwetu aliyetarajia 'mabwana wakubwa' hawa wanaweza eti kukamatwa wakafikishwa kizimbani tena mbele ya hakimu.
Taarifa yenyewe ni hii ya utata wa ulaji wa pesa za ujenzi wa jengo la ubalozi kule Italia. Wiki hii aliyekuwa Balozi wetu ambaye pia ni Profesa, alipandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo, kama ni za kweli au la. Sizungumzii uhalali au uharamu wake. Soma zaidi kwa kubonya hapa:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma
Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na Fitch Ratings Ltd amb...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
No comments:
Post a Comment