Thursday, October 01, 2015

KILA JUMATATU YA KWANZA YA MWEZI OKTOBA NI SIKU YA MAKAZI DUNIANI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI

 TAARIFA KWA UMMA
 Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inapenda kuwataarifu  Wananchi wote kwamba kila Jumatatu ya kwanza ya mwezi Oktoba ni Siku ya Makazi Duniani  ambayo huadhimishwa Duniani kote.

Nchini, mwaka huu tarehe 05/10/2015  –  Jumatatu, Maadhimisho ya siku hii yanategemewa kufanyika katika viwanja vya Karimjee kuanzia saa mbili na nusu asubuhi (2:30) mpaka saa nane mchana (8:00).

Kauli Mbiu ya Maadhimisho ya mwaka huu ni; 
“Maeneo ya Umma kwa Wote”

Mgeni rasmi katika Maadhimisho haya anatarajiwa kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Mhe.William Lukuvi.

“Wananchi wote mnakaribishwa”

Imetolewa na Katibu Mkuu

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

GERMANY COMMITS 37 MILLION EUROS TO SUPPORT REGIONAL INTEGRATION IN EAST AFRICA

  Head of the German delegation Mr. Georg Rademacher and the EAC Deputy Secretary General in charge Finance and Administration, Mr. Liberat Mfumukeko signs the bilateral agreement.
The EAC team(on the right side) led by Deputy Secretary General in charge Finance and Administration, Mr Mr. Liberat Mfumukeko and the The Federal Republic of Germany team during the negotiations.

EAST African Community Headquarters, Arusha, 1 October, 2015The Federal Republic of Germany and the East African Community (EAC) have successfully concluded bilateral negotiations on development cooperation at the EAC Headquarters in Arusha,Tanzania. 

The Federal Republic of Germany committed a total of 37 million euros in grants to the EAC for 2016-2018, highlightingthe strong commitment to support the integration process in East Africa.   

·         10 million euro in financial assistance will be invested in the establishment of a regional network of reference laboratories for communicable diseases. With this project, the German Government responds to a request for support from the EAC for the prevention and control of epidemic outbreaks in the region. 

·         Another 10 million euro in financial assistance will be used for Integrated Water Resource Management of Lake Victoria aiming at improving water provision and management of water resources.


·         17 million euros in technical assistance were committed to further support of the economic integration process, including a contribution to the EAC partnership fund. The programme is focussing on institutional strengthening of the EAC Secretariat and on supporting the implementation of the Customs Union, Common Market Protocols and Monetary Union. This includes the elimination of Non-Tariff Barriers such as tax harmonisation as well as Mutual Recognition Agreements for qualifications. At the same time Germany will support the EAC in promoting private investment especially in the pharmaceutical sector, including the establishment of a regional quality infrastructure for the pharmaceutical sector.

Speaking during the negotiations, the  EAC Deputy Secretary General in charge of Finance and Administration, Mr. Liberat Mfumukeko, thanked the Government of the Federal Republic of Germany for its support to the EAC spanning the years since the re-establishment of the Cooperation between the three founding EAC Partner States to the present, when the Community has expanded to include the republics of Rwanda and Burundi.

‘’We have truly benefited from the German support which has catalyzed other development Partners to support our projects and programmes. In addition, Germany has given the EAC a permanent home by financing  the construction of the new Headquarters that today houses the Secretariat ,the Court and the Assembly under one roof thus greatly easing the EAC Organs interactions and communication’’, said Mr. Mfumukeko.


He highlighted the successes achieved through German support in the realisation of the fully fledged Customs Union, the Common Market, and the commitments to support the realisation of the Monetary Union in the succeeding programme.

The EAC Deputy Secretary General  noted that the development of the East African Monitoring System within the current support had resulted in a robust means of follow up of the implementation of Council and Summit directives. He further enumerated the priorities of the EAC- German cooperation for the next years.

Mr. Georg Rademacher, Head of the German delegation, said: “Our support underlines the importance we give to the East African Community. The EAC is a role model and pace-setter in Africa and we are proud working closely with you in order to contribute to the well-being and prosperity of the citizens of this region”.

 He underlined that Germany is also supporting substantial regional infrastructure projects with promotional loans of the German development bank KfW.

Only last week Ambassador Kochanke and Secretary General Sezibera signed a financial agreement to commit 30 million euros for live-saving vaccines in the EAC and the establishment of the EAC Regional Centre of Excellence for Health Supply Chain Management in Kigali.

With a view to strengthen the pandemic preparedness in the EAC, Germany had announced its willingness to provide an additional 3 million euros in technical assistance for the region`s crisis response capacity (out of special funds for 2016).

Since cooperation began in 1998 the total volume of German support to the EAC amounts to almost 213 million euro. Germany also has substantial bilateral cooperation with all five EAC member states.




For further information, please contact:

·         Owora Richard Othieno, Head of Corporate Communications and Public Affairs; 


·         John Merikion, German Embassy, Communication Officer, Tel: +255 22 211709;  



PRESIDENT KIKWETE CALL UPON ADVANCED NATIONS TO CURB MARKET FOR ILLEGAL WILDLIFE PRODUCTS.

 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete speaks during the International Conservation Caucus Foundation(ICCF) gala in New York's Harvard Club whereby he called upon advanced nations to curb the sale of illegally acquired wildlife products in their countries as a way of combating poaching and illegal wildlife trade in Africa.
 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete speaks with Malawi's President Professor Peter Mutharika during the ICCF Gala held at Harvard Club in New York.
 The ICCF is an umbrella organization that works to advance conservation governance by building political support, providing on the ground solutions and applying  a natural resource  wealth management framework to sustainably develop and manage the earth's natural resources
The Minister for Natural Resources and Tourism Hon.Lazaro Nyalandu Left and The Permanent Secretary in the Ministry Foreign Affairs and International Cooperation Ambassador Liberata Mulamula escorts President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete out of the Harvard Club in New York shortly after the President attended a gala organized by the ICCF group
(photos by Freddy Maro)

AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY


Meneja biashara wa kitengo cha  Airtel Money,  Bwn Asupya Naligingwa
(kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtel
kugawa gawio la faida la zaidi ya  shilingi billion 5 kwa wateja na
mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima.  Pichani
ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde

KAMPUNI ya simu za mkononi
ya Airtel leo imetangaza kugawa zaidi ya shilingi bilioni 5 kwa wateja
na mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima

Uamuzi huo wa kutoa gawio la faida lililopo katika akaunti  ya
udhamini ya wateja wa Airtel Money (Trust account)  litawawezesha
wateja wa Airtel kulipwa kiwango kizuri cha gawio la faida.  Kiwango
hiki cha pesa kitalipwa kutokana na  kiasi cha pesa mteja alichokuwa
nacho kwenye akaunti yake ya Airtel Money kila mwisho wa siku  kuanzia
March 2014 hadi April 2015.

Akiongea na waandishi wa habari,Meneja wa kitengo cha  Airtel Money,
Asupya Nalingigwa, alisema wanayo furaha kutangaza mgawanyo  huu wa
gawio la faida kwa wateja wao baada ya benki kuu ya Tanzania.
Kuidhinisha kutoa  pesa hizi katika akaunti ya udhamini ya pesa za
wateja wa Airtel Money ijulikanayo kama trust  account.

Aliongeza kwa kusema wateja wa Airtel Money watapata sehemu ya gawio
lao  kulingana na salio wanalokuwa nalo kwenye akaunti zao kila siku

"Tunaamini kiasi hiki cha pesa kitachangia kwa kiasi kikubwa katika
kuboresha maisha ya watanzania wengi , kuwahamasisha wateja
wasiofikiwa na huduma za kibenki kutumia mfumowa pesa kwa njia ya
simu.Vilevile wateja wetu wa Airtel Money wataendelea kutumia huduma
za pesa kupitia simu za mkononi, kufanya miamala yao ya kila siku na
kutunza pesa zao ili kupata gawio lao kila watakapo weka pesa katika
akaunti zao za Airtel Money". Aliongeza Nalingigwa

Uamuzi huu wa kutoa gawio la faida kwa wateja ni wakuungwa mkono kwani
unachochea na kuboresha matumizi ya huduma za kifedha kupitia simu za
mkononi , ukizingatia takribani asilimia 85% ya watanzania bado
hawajafikia na huduma za kibenki

Airtel imekuwa mstari wa mbele katika kutoa huduma za kibunifu  za
kifedha kupitia simu za mkononi ikwemo NFC huduma inayokuwezesha
kufanya malipo kupitia kadi, Mikopo ya Timiza na huduma nyingine
nyingi.

Katika  maelezo yake Naligingwa aliahidi  Airtel kuendelea na dhamira
yake ya kuzindua huduma bora na za kisasa katika mienzi ijayo ili



kuwanufaisha watanzania waishio maeneo ya mijini na vijijini.

RAIS KIKWETE KUZINDUA KITUO CHA MICHEZO KIDONGO CHEKUNDU DAR ES SALAAM

unnamedcRais Kikwete anatarajia kuzindua Kituo Kituo cha Michezo cha Kisasa cha Jakaya M. Kikwete Youth Park (JMK Park), Kidongo Chekundu, Dar es Salaam, kituo cha kwanza cha aina yake nchini chenye kulenga miongoni mwa mambo mengi kuanza kulea wanamichezo tokea wakiwa wadogo.
Hayo yalijitokeza  wakati wa mazungumzo kati ya Rais Kikwete na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Umeme ya Symbion Power, Bwana Paul Hinks(pichani) kwenye Hoteli ya JW Marriot Essex House, mjini New York, Marekani ambako Rais alikuwa anafanya ziara rasmi ya kikazi. Rais Kikwete alikiwekea Kituo hicho jiwe la msingi mwaka jana.
unnamedv
Katika mkutano huo, uliofanyika jana, Jumanne, Septemba 29, 2015, Bwana Hinks alimweleza Rais Kikwete kuwa ujenzi wa Kituo hicho sasa umekamilika tayari kwa uzinduzi na hivyo kuongeza thamani kubwa kwenye eneo ambalo miaka ya nyuma lilikuwa gereji ya kutengenezea magari.
J
Kituo hicho cha JMK Park kimegharimu kiasi cha dola za Marekani milioni mbili na ni matokeo ya ushirikiano ya Kampuni ya Symbion Power ya Marekani, Klabu ya Soka la Ligi Kuu ya Uingereza ya Sunderland AFC na Taasisi ya Grasshopper Soccer.
(Picha na Freddy Maro).

MAGUFULI AAHIDI KUKOMESHA MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI NCHINI

  Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa watu kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma leo, akiendelea na kampeni zake za kuisaka Ikulu nchini Kote huku akiwaomba Watanzania kumpigia kura za ndiyo ifikapo Oktoba 25 mwaka huu katika uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ili aweze kuwatumikia kwa uaminifu mkubwa.

Akitoa hotuba yake katika moja ya mikutano  yake alioufanya katika mji wa Kibaigwa Dk. John Pombe Magufuli amesema hakuna kitu kinachomuumiza kama mauaji ya wakulima na wafugaji yanayotokea kati ya wilaya za Kongwa Mkoani Dodoma na Kiteto  mkoani Manyara.

Dkt Magufuli ameahidi kuwa mara baada ya kuchaguliwa  na kuunda Serikali yake,jambo hilo atalipa uzito wa juu na kulifanyia kazi kwa umakini mkubwa. “Yaani Mimi Magufuli Nimteuwe Waziri na watendaji wengine wa serikali halafu Mauaji yatokee watu wafe, Mkuu wa mkoa yupo , Mkuu wa wilaya yupo  na Kamanda wa Polisi yupo wabaki wanapunga upepo, wamiliki wa Ng’ombe wabaki  wanakula maisha haiwezekani,nitalala nao mbele na  Ng’ombe wataliwa msibani kwa uzembe waliousababisha”,alisema Magufuli kwa msisitizo mkubwa.

Magufuli amewataka wafugaji na wakulima kuishi kwa amani bila kubaguana, lakini pia akasema atatumia sheria za ardhi na kuhakikisha maeneo ya wafugaji na wakulima yanatengwa, ili wafanye shughuli  zao na kukuza kipato na  uchumi wao bila kusumbuliwa. 
 Baadhi ya wananchi wa mji wa Dodoma na vitongoji vyake wakimsiiliza Dkt Magufuli alipokuwa akinadi sera zake za kuomba kura ili kushika nafasi  ya Urais ya awamu ya tano.

  Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, akimnadi Dkt.Magufuli kwa kuhubiri amani katika mikitano yake ya kampeni kuliko wagombea wa vyama vingine hawasisitizi kudumisha amani nchini jambo ambalo ni tunu ya taifa
 Dkt. Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa Dodoma Mjini,mara baada ya kumkabidhi Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Ndugu Anthony Mavunde wakati wa mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Jamhuri mjni Dodoma jana.
  Dk Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Mpwapwa, George Lubeleje,mjini MPwapwa katika uwanja wa mgambo.
 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Kongwa, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai wakati wa mkutano wa kampeni jimboni humo.
  Mawaziri wakuu wa zamani, John Samuel Malecela na Jaji Mstaafu Joseph  Sinde Warioba wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Dodoma kwenye mkutano wa kampeni. 
 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli, akimsimamia Mgombea ubunge Jimbo la Mtera kupitia CCM, Livingstone Lusinde aliyekuwa akifanya mazoezi ya Push Up wakati wa mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa  akimuombea kura Dk Magufuli wakati wa mkutano huo wa kampeni mjini Dodoma jioni ya jana. 
 Walemavu nao wana haki ya kuwasikiliza Wagombea nafasi mbalimbali ikiwemo ya Urais, Ubunge na Udiwani
  Wananchi wa Kibaigwa wilayani Kongwa, wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM,Dkt. Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika mkutano wa kampeni mjini Kongwa.
 Mgombea Urais Dkt John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Waziri Mkuu wa zamani Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba,mjini Kibaigwa wilayani Kongwa kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni. 
 Wananchi wa Kibaigwa wilayani Kongwa wakifuatilia hotuba za Dkt Magufuli kwenye mkutano wa kampeni.
  Dk Magufuli akijipigia kampeni  kwa wakazi wa Kibaigwa , wilayani Kongwa leo.Akiwa wilayani Kongwa, Dk Magufuli amesema kuwa akishinda urais atahakikisha anadhibiti mapigano  kati ya wakulima na wafugaji yanayoendelea nchini na kusababisha vifo vya watu wengi 
  Dkt. Magufuli akiwapungia mikono wananchi alipowasili kwenye kampeni Uwanja wa Jamhuri Dodoma jana.

WANACHAMA WA CHAMA CHA MAWAKALA WA FORODHA TANZANIA WAJIUNGA NA PSPF

 KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Florence Turuka, akihutubia wanachama wa chama cha mawakala wa forodha Tanzania (TAFFA), mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa TAFA kwenye ukumbi wa Karimjee .
 Meneja Masoko, Mawasiliano na Uenezi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Costantina Martin, akiwaeleza wanachama wa Chama cha mawakala wa forodha Tanzania TAFA, juu ya hufuma mbalimbali zitolewazo na Mfuko huo, wakati wa mkutano mkuu wa TAFFA jijini Dar es Salaam. PSPF na TAFFA wamefungua ukurasa mpya wa mahusiano ambapo wanachama kadhaa wa TAFA walijiunga na Mfuko huo
 Viongozi wakuu wa TAFFA, wakionyesha kadi za uanachama wa mpango wa uchangiaji wa hiari kwenye Mfuko wa Pensheni wa PSPF, (PSS), baada ya kukuunga wakati wa mkutan o mkuu wa mwaka wa TAFFA. Kulia ni Meneja Matekelezo wa PSPF, Francis Mselem, Meneja Masoko, Mawasilioano na Uenezi, Costantina Martin (wapili kushoto) na meneja wa mpango wa uchangiaji wa hiari (PSS), Mwanjaa sembe
Baadhi ya wanachama wa TAFFA wakiwa kwenye mkutano huo.

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AMPONGEZA NDEJEMBI, AMSIFIA KWA UADILIFU NA UCHAPAKAZI

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba , amempongeza Mhe. Deogratius John Ndejembi kwa kuaminiwa ...