Tuesday, May 16, 2017

MKUU WA MKOA MECK SADIKI NA MAJAJI WAWILI WAACHIA NGAZI


KUJIUZULU: Rais Magufuli ameridhia kujiuzulu kwa viongozi wafuatao; RC Kilimanjaro, Said Meck Sadiki, majaji wa Mahakama Kuu, Aloysius Mujulizi na Upendo Msuya.



Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Saidi Meck Sadick.
Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania & M/kiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria, Aloysius Mujulizi.
Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania, Pendo Hillary Msuya.

No comments:

TANAPA YASHIRIKI TUZO ZA THE SERENGETI AWARDS JIJINI ARUSHA

Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) inayoongozwa na Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara, pamoja n...