Saturday, June 16, 2007

Ugali

1 comment:

John Mwaipopo said...

Mzee wa Mshitu picha hii hakika haiitaji maelezo yoyote yawayo. yatosha. mambo ya nguna hayo, mmetoka kulima mchana mna njaa kali na kiu kisha mwakutana na mguna kama hili. Kule kwetu Mbeya tunakula na jmchanganyiko wa nguniani (majani ya maharage) na maharage mabichi. Ndani kuwe kumewekwa tui la karanga. Yaani We acha tu!!!!

DKT. SAMIA AHIDI KUKAMILISHA DARAJA LA PANGANI NA BARABARA YA KIMKAKATI BAGAMOYO–SAADANI–PANGANI–TANGA

Na John Bukuku, Tanga  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hass...