Saturday, June 16, 2007

Ugali

1 comment:

John Mwaipopo said...

Mzee wa Mshitu picha hii hakika haiitaji maelezo yoyote yawayo. yatosha. mambo ya nguna hayo, mmetoka kulima mchana mna njaa kali na kiu kisha mwakutana na mguna kama hili. Kule kwetu Mbeya tunakula na jmchanganyiko wa nguniani (majani ya maharage) na maharage mabichi. Ndani kuwe kumewekwa tui la karanga. Yaani We acha tu!!!!

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...