Saturday, June 23, 2007

KITUO CHA KIMATAIFA CHA MIKUTANO (AICC)

Hapa ndipo yalipokuwa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki sasa ni kituo cha mikutano na kuna Makao Makuu ya Mahakama ya Kimataifa ya Rwanda (ICTR), ukumbi wa Bunge la Afrika Mashariki na ofisi nyingine kibao.

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKITUNUKIWA NISHANI YA HESHIMA YA JUU YA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI (THE GRAND CORDON)

Dar es Salaam, 14 Agosti 2025  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Nish...