Wednesday, May 03, 2017

BODI YA WAKURUGENZI NHC YATEMBELEA MIRADI MBALI MBALI MIKOA YA MOROGORO NA DODOMA

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Blandina Nyoni akifuatilia kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif, wakati Timu hiyo ya Bodi ya Wakurugenzi ilipokuwa ikitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma, Kulia kwa Mkurugenzi Mlekio na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu, ziara hiyo iliendelea katika mikoa ya Singida, Manyara na Arusha.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Blandina Nyoni akiwasili kwenye mradi wa Jengo la Biashara wa 2D Morogoro akiongozwa na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif.
 Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Kesogukewele Msita na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Blandina Nyoni wakikagua kitu kwenye mradi wa Jengo la Biashara wa 2D Morogoro,

  
 Picha ya pamoja na Wafanyakazi wa NHC Morogoro
  Jengo la Biashara la NHC 2D Morogoro
  Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya NHC wakifuatilia kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa NHC Morogoro wakati timu ilipotembelea shamba la Magereza ambapo NHC ipo kwenye mazungumzo na Magereza kwaajili ya uendelezaji wa eneo hilo.
 Eneo la Magereza
 Timu hiyo ya Bodi ya Wakurugenzi ikifuatilia kwa kina maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa NHC  Mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif kuhusu mradi wa nyumba za gharama nafuu Mvomero wakati timu hiyo ilipokuwa ikitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Blandina Nyoni akielekeza jambo  wakati timu hiyo ilipokuwa ikitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma 
 Nyumba za gharama nafuu Mvomero zinavyoneekana kwa picha ya angani, nyumba zote 42 zimekamilika na zimenunuliwa na wateja mbalimbali.

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mchechu akitoa maelezo mafupi kuhusiana na mtradi wa Kongwa mbele ya Timu ya Bodi ya Wakurugenzi wa NHC ilipotembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kongwa. 
  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mchechu akitoa maelezo mafupi kuhusiana na mtradi wa Kongwa mbele ya Timu ya Bodi ya Wakurugenzi wa NHC ilipotembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kongwa
 

  Mjumbe wa Bodi Kesogukewele Msita akisisitiza jambo wakati timu hiyo ilipokuwa NHC Kongwa, DOdoma
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mchechu akitoa maelezo mafupi kuhusiana na mtradi wa Kongwa mbele ya Timu ya Bodi ya Wakurugenzi wa NHC ilipotembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kongwa jana.

   Mjumbe wa Bodi Kesogukewele Msita akifurahia jambo alipokutana tena na Hassan Bendera wa NHC Dodoma wakati timu hiyo ilipokuwa NHC Iyumbu, DOdoma.

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Blandina Nyoni akifuatilia kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa Haikamen Mlekio wakati Timu hiyo ya Bodi ya Wakurugenzi ilipokuwa ikitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma jana, Kulia kwa Mkurugenzi Mlekio na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu, ziara hiyo inaendelea katika mikoa ya Singida, Manyara na Arusha 
 Picha ya pamoja Iyumbu Dodoma

Picha za angani za nyumba za Iyumbu Dodoma

Tuesday, May 02, 2017

BODI YA WAKURUGENZI NHC YATEMBELEA MIRADI MBALI MBALI MIKOA YA MOROGORO NA DODOMA

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Blandina Nyoni akifuatilia kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa Haikamen Mlekio wakati Timu hiyo ya Bodi ya Wakurugenzi ilipokuwa ikitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma jana, Kulia kwa Mkurugenzi Mlekio na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu, ziara hiyo inaendelea katika mikoa ya Singida, Manyara na Arusha leo,
Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa Haikamen Mlekio akizungumza na vyombo vya habari wakati Timu hiyo ya Bodi ya Wakurugenzi ilipokuwa ikitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro a Dodoma jana,  ziara hiyo inaendelea katika mikoa ya Singida, Manyara na Arusha leo,
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mchechu akitoa maelezo mafupi kuhusiana na mtradi wa Kongwa mbele ya Timu ya Bodi ya Wakurugenzi wa NHC ilipotembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kongwa jana.


Timu hiyo ya Bodi ya Wakurugenzi ikifuatilia kwa kina maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa NHC  Mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif kuhusu mradi wa nyumba za gharama nafuu Mvomero wakati timu hiyo ilipokuwa ikitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma jana, ziara hiyo inaendelea katika mikoa ya Singida, Manyara na Arusha leo,
 Timu hiyo ya Bodi ya Wakurugenzi ikifuatilia kwa kina maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa NHC  Mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif kuhusu mradi wa nyumba za gharama nafuu Mvomero wakati timu hiyo ilipokuwa ikitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma jana, ziara hiyo inaendelea katika mikoa ya Singida, Manyara na Arusha leo,
 Mojawapo ya nyumba za gharama nafuu Mvomero, nyumba zote 42 zimekamilika na zimenunuliwa na wateja mbalimbali,
 Timu hiyo ya Bodi ya Wakurugenzi ikifuatilia kwa kina maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa NHC  Mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif kuhusu mradi wa nyumba za gharama nafuu Mvomero wakati timu hiyo ilipokuwa ikitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma jana, ziara hiyo inaendelea katika mikoa ya Singida, Manyara na Arusha leo,
 Timu hiyo ya Bodi ya Wakurugenzi ikifuatilia kwa kina maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa NHC  Mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif kuhusu mradi wa  jengo la Biashara 2D Morogoro wakati timu hiyo ilipokuwa ikitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma jana, ziara hiyo inaendelea katika mikoa ya Singida, Manyara na Arusha leo,

 Meneja wa NHC Mkoa wa Dodoma, Joseph John akiwatambulisha wafanyakazi wa NHC kwa  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Blandina Nyoni wakati timu hiyo ilipotembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Iyumbu Sattelite Centre Dodoma.
   Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Blandina Nyoni akifuatilia kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa Haikamen Mlekio wakati Timu hiyo ya Bodi ya Wakurugenzi ilipokuwa ikitembelea mradi wa Iyumbu Sattelite Cenre Dodoma Timu hiyo ilitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma jana, Kulia kwa Mkurugenzi Mlekio na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu, ziara hiyo inaendelea katika mikoa ya Singida, Manyara na Arusha leo,
  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Blandina Nyoni akifuatilia kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa Haikamen Mlekio wakati Timu hiyo ya Bodi ya Wakurugenzi ilipokuwa ikitembelea mradi wa Iyumbu Sattelite Cenre Dodoma Timu hiyo ilitembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba ya NHC iliyopo katika mikoa ya Morogoro na Dodoma jana, Kulia kwa Mkurugenzi Mlekio na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu, ziara hiyo inaendelea katika mikoa ya Singida, Manyara na Arusha leo,
Meneja wa NHC Mkoa wa Dodoma, Joseph John akiwatambulisha wafanyakazi wa NHC kwa  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Blandina Nyoni wakati timu hiyo ilipotembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Iyumbu Sattelite Centre Dodoma.

MKURUGENZI MKUU WA WCF AWAHAMASISHA WAAJIRI KUJISAJILI NA MFUKO HUO, WAUNGANA NA WENZAO KUADHIMISHA MEI MOSI


Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (Workers Compesation Fund – WCF), Masha Mshomba, (pichani) amewahamasisha waajiri nchini kujisajili katika mfuko huo kwani mkombozi mkubwa kwa waajiri na wafanyakazi.
Mshomba ametoa rai hiyo leo wakati wa siku ya wafanyakazi duniani ‘Mei Mosi” iliyofanyika kitaifa katika viwanja vya Ushirika Moshi mkoani Kilimanjaro ambapo mgeni rasmi katika sherehe za Mei Mosi mwaka huu alikuwa rais John Pombe Magufuli. 
Mfuko wa Fidia ni mkombozi kwa waajiri na wafanyakazi nchini kwa sababu umekuja katika kipindi ambacho huko nyuma tulikuwa hatuna chombo hiki,wafanyakazi walikuwa wakipata ajali na magonjwa yanayotokana na kazi bila kupata fidia sasa mfuko umekuja mambo hayo yatakuwa historia. 

 Mshomba alisema  WCF ni faraja kwa waajiri kwani utawawezesha kujikita katika uzalishaji tu, na WCF kubaki na jukumu la kumuhudumia mfanyakazi anapoumia, au kuugua. Alsema Mshomba. Alisema pamoja na kwamba waajiri ndiyo wachangiaji wakuu,mfuko wa WCF umewaondolea mzigo wa kuhangaika na mtumishi pale anapopata ajali, au maradhi yatokanayo na kazi anazofanya. 
“Tunawasihi sana waajiri waendelee kujisajili katika mfuko wa WCF kwa haraka kabisa ili waweze kunufaika wao na wafanyakazi wao,mfanyakazi akipata ajali atapata huduma ya matibabu na kama amepata ulemavu basi atapata fidia katika malipo ya pensheni ya kila mwezi”,aliongeza Mshomba.
Katika kusherehekea sherehe za Mei Mosi mwaka 2017 mfuko wa WCF umetoa elimu kwa wafanyakazi na wananchi mbalimbali waliofika katika banda lao lakini pia wafanyakazi wa WCF wameshiriki katika maandamano ya wafanyakazi kutoka sekta mbalimbali za umma na binafsi katika viwanja vya Ushirika Moshi. Kutoka Dar es Salaam, Khalfan Said wa K-VIS BLOG anaripoti kuwa.
Wfanyakazi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), wameungana na wenzao jijini Dar es salaam kuadhimisha siku ya wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi kwa matembezi kutoka Mnazi Mmoja hadi uwanja wa Uhuru.

Kitaifa sherehe hizo zimeongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli mjini Moshi ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni “Uchumi wa Viwanda uzingatie Haki, Maslahi na Heshima ya wafanyakazi.”

Mgeni rasmi katika sherehe za Mei Mosi jijini Dar es Salaam, alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeka, Bw. Felix Lyaviva, ambaye alipokea maandamano ya wafanyakazi na magari kadhaa kutoka taasisi za umma na binafsi yakionyesha huduma zitolewazo na taasisi hizo.
WCF ni Mfuko ulioanzishwa kwa sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi namba 20 ya mwaka 2008 na ndio Mfuko unaowajibika kutoa Mafao ya Fidia kwa Wafanyakazi walioumia, au kupatwa na maradhi yaliyoababishwa na kazi wanazozifanya lakini pia kutoa Fidia kwa wategemezi pindi Mfanyakazi anapofariki kwa kuzingatia vigezo vilivyowekwa.
Wafanyakazi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (Workers Compesation Fund – WCF)  wakiwa katika maandamano
Rais John Pombe Magufuli akipokea maandamano ya wafanyakazi wakati wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani 'Mei Mosi' mwaka 2017 katika viwanja vya Ushirika Moshi mkoani Kilimanjaro
Wafanyakazi kutoka Mfuko wa WCF wakiwa katika banda la WCF wakati wa maadhimisho ya sherehe za Mei Mosi mwaka 2017 ambapo wananchi walipata fursa ya kupata elimu kuhusu mfuko huo
Wananchi wakiwa katika banda la WCF
Wananchi wakiwa katika banda la WCF wakipata maelezo kutoka kwa wafanyakazi wa mfuko huo
Wafanyakazi wa mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi -WCF wakibadilishana mawazo baada ya sherehe za Mei Mosi kumalizika katika viwanja vya Ushirika Moshi mkoani Moshi.Kushoto ni Mkurugenzi wa Huduma za Matibabu na Tathmini WCF, Dkt. Abdulssalaam Omary,katikati ni Rajabu Ruje,kulia ni Afisa Uhusiano WCF, Zaria Mmanga.
Picha zote na Kadama Malunde- Malunde1 blog
 Baadhi ya wafanyaakzi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), wakiungana na wenzao katika maandamano ya kuadhimisha siku ya Wafanyakazi Duniani ambapo kiraifa yamefanyika kwenya uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.












Monday, May 01, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASHIRIKI MEI MOSI KITAIFA MKOANI KILIMANJARO


 Waziri Mkuu  Kassim  Majaliwa  akisalimiana na  Makamu  wa Rais Mama Samia  Suluhu walipokuwa  katika  Sherehe za  Mei  Mosi  zilizofanyika kitaifa mkoani  Kilimanjaro leo 01/5/ 2017  Katika viwanja  vya  Chuo  cha Ushirika  Mkoani  Kilimanjaro.
 Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa  akisalimiana na Mwenyekiti  Mtendaji  wa  IPP.  Dr  Reginali Mengi  walipokuwa  katika  Sherehe za  Mei  Mosi  zilizofanyika  Kitaifa Mkoani  Kilimanjaro leo 01/5/ 2017 katika viwanja  vya Chuo cha Ushirika  mkoani Kilimanjaro.
  Baadhi ya  Wabunge wakiwa  pamoja na watumishi  wa Serikali  katika Sherehe za Mei  Mosi  zilizofanyika  kitaifa mkoani  Kilimanjaro  leo katika viwanja vya Chuo  cha Ushirika  Mkoani  Kilimanjaro
Wafanyakazi wa Kiwanda Chakutengenza  Sukari  (TPC)  Wakipita Kwa maandamo mbele ya mgeni Rasimi Rais Dr John Magufuli  ikiwa ni ishara ya  kusheherekea  Maadhimisho ya Sikukuu ya wafanyakazi  Duniani  ambapo Tanzania Kitaifa  yamefanyika  mkoani  Kilimanjaro   
PICHA  NA  PMO

RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA SHEREHE ZA MEI MOSI ZILIZOFANYIKA KITAIFA MKOANI KILIMANJARO



MTUHUMIWA WA “KUFUTA MADENI” YA MIKOPO AKIRI KOSA, AHUKUMIWA KIGOMA

KIGOMA, Septemba 4, 2026 — Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma imemhukumu Nicholaus Komba Mahitana maarufu kama Abdallah Mahimbo baad...