Monday, February 25, 2019

MIKOA YATAMBA MATEMBEZI YA MWISHO WA MWEZI, MAKAO MAKUU WACHACHE WAJITOKEZA

Utaratibu wa Matembezi ya kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi kwaajili ya kuimarisha afya, kuunga mkono agizo la Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan na kisha kuunga mkono agizo la Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa mwisho mwa wiki hii yalifanyika huku  mikoa ya NHC ikiongoza kwa kujitokeza kwa wingi kufanya mazoezi na makao makuu kujitokeza wachache katika matembezi yaliyoanzia jengo la makao makuu ya NHC Kambarage House kuelekea Barabara ya Barack Obama hadi Palm Beach na kuingia Barabara za Ali Hassan Mwinyi, Ohio, Kivukoni Front, Luthuli na baadaye kuelekea kwenye eneo kutakakokuwa na mazoezi ya viungo katika eneo la Sea View Beach (Dengu Beach). Matembezi haya hufanyika kila mwisho wa mwezi na kwa mikoa yote ya NHC ili kuimarisha afya za wafanyakazi na kujenga mshikamano. Matembezi haya yatafanyika tena mwishoni mwa mwezi huu. Pichani ni wafanyakazi wa NHC Tabora.
 NHC Singida  walijitokeza kufanya matembezi hayo, yakiongozwa na Meneja wa Singida, Nistas Mvungi katika matembezi hayo ya mwisho wa Mwezi.

NHC Musoma walijitokeza kufanya matembezi hayo.
 NHC Tanga walijitokeza kufanya matembezi hayo.


 NHC Musoma walijitokeza kufanya matembezi hayo.



 

 NHC Mtwara walijitokeza kufanya matembezi hayo. Matembezi hayo kwa mkoa wa Mtwara yaliongozwa na Meneja wa NHC Mtwara, Angela Magazi.



  NHC Kilimanjaro walijitokeza kufanya matembezi hayo.


 NHC Kilimanjaro walijitokeza kufanya matembezi hayo. Matembezi hayo yaliongozwa na Kaimu Meneja Stanley Msoffe.


 NHC Mbeya  walijitokeza kufanya matembezi hayo, yakiongozwa na Meneja wa Mbeya Saidi Bungara na Mama Sinda naye alikuwapo katika matembezi hayo ya mwisho wa Mwezi.

 NHC Makao makuu  walijitokeza kufanya matembezi yaliyoanzia jengo la makao makuu ya NHC Kambarage House kuelekea Barabara ya Barack Obama hadi Palm Beach na kuingia Barabara za Ali Hassan Mwinyi, Ohio, Kivukoni Front, Luthuli na baadaye kuelekea kwenye eneo kutakakokuwa na mazoezi ya viungo katika eneo la Sea View Beach (Dengu Beach).

 Pichani mmoja wa washiriki Arden Kitomari akiwa anafurahia mazoezi.

 Matembezi hayo yakiendelea eneo la Beach




 NHC Tanga  walijitokeza kufanya matembezi hayo, yakiongozwa na Meneja wa Tanga, Ramadhani Macha katika matembezi hayo ya mwisho wa Mwezi.





  NHC Tabora  walijitokeza kufanya matembezi hayo, yakiongozwa na Meneja wa Tabora, Dickson Ngonde katika matembezi hayo ya mwisho wa Mwezi.



  

 NHC Singida  walijitokeza kufanya matembezi hayo, yakiongozwa na Meneja wa Singida, Nistas Mvungi katika matembezi hayo ya mwisho wa Mwezi.
 NHC Singida  walijitokeza kufanya matembezi hayo, yakiongozwa na Meneja wa Singida, Nistas Mvungi katika matembezi hayo ya mwisho wa Mwezi.

 NHC Singida  walijitokeza kufanya matembezi hayo, yakiongozwa na Meneja wa Singida, Nistas Mvungi katika matembezi hayo ya mwisho wa Mwezi.