Saturday, April 07, 2007

Mnazi mmoja uko wapi vile

Mnazi Mmoja

2 comments:

Evarist Chahali said...

Mzee nimepita hapa nyumbani kwako.Nimepapenda sana.
Bonge

ARAWAY Media Tanzania said...

Ahsante sana mzee unajua ndo najitahidi kuezeka makuti mvua bado inanivujia hata hivyo karibu sana kaka, huwa napita kwako pia.
Habari ya miaka mingi tangu tumalize chuo miaka ileee.

Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma

Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na  Fitch Ratings Ltd  amb...