Monday, April 16, 2007

Miss Universe Tanzania


Miss Universe Tanzania, Flaviana Francis Matata, katika pozi baada ya kuvishwa taji hilo juzi kwenye Hoteli ya Movenpick Dar es Salaam. Hongera kwa ushindi huu mdogo wangu.

2 comments:

MTANZANIA. said...

Binti! Hongera kwa ushindi. Ushauri wangu kwako ni kwamba kazana na masomo pia kwani dunia ya sasa ELIMU ni muhimu.

Charahani!
Kuna mashindano yoyote ambayo huyu dada ataiwakilisha nchi?

ARAWAY Media Tanzania said...

Okay safi bwana Mtanzania huyu binti bwana atashiriki mashindano ya Dunia ya Miss Universe yatakayofanyika Mexico hivi karibuni.

TRENI YA MWENDOKASI KUFIKA MWANZA 2028

  Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa (wa pili kutoka kulia),akizungumza baada ya kukagua daraja la kupitisha magari chn ya reli, l...