Sunday, July 05, 2009

Serena bingwa wimbledon 2009




Serena williams amejinyakulia ushindi wa kombe la Wimbledon mwaka huu. Serena alikuwa akichuana na dada yake Venus Williams na bingwa mtetezi wa kombe hilo amemtoa dadayake kwa seti mfululizo 7-6, na 6-2. hii inafanya jumla ya Grand slams 11ambazo Serena amesha shinda hadi hivi sasa. Venus ana Gland slams 7. Hongereni sasa Venus na Serena.

No comments:

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...