Friday, May 11, 2007

Habari mpyaaaaaaa

Taarifa zilizotufikia muda si mrefu ni kwamba mrembo wetu flaviana matata anazidi kung'ara huko Mexico kwenye mashindano ya miss universe! amekuwa mshindi wa tano ktk Miss Universe-Photogenic ambayo ni hatua nzuri sana! Wadau Votes ziendelee..tunaweza kukawa na Miss Universe Jamani! bofya hapo chini kwa zaidi hapa

1 comment:

Jr said...

nazitafuta picha za "MEE MORISI" nisaïdiyeni

Asanta

jr

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKITUNUKIWA NISHANI YA HESHIMA YA JUU YA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI (THE GRAND CORDON)

Dar es Salaam, 14 Agosti 2025  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Nish...