Saturday, October 21, 2006

Haya jenereta hizoo za Richmond hizoooo



Bosi wa Richmond Development Company nchini, Naeem Gire akikagua shehena ya majenereta yaliyowasili nchini leo. (Picha hii imepigwa na Mpoki Bukuku maarufu kama Mzee wa Sumo kwa picha zaidi mwaweza kumcheki kwa kubonya hapabaadaye katika mtandao wake)

No comments:

KAMISHNA KUJI ATOA WITO TANAPA KUWA NA SACCOS MOJA

Na Edmund Salaho - Tanga Kamishna wa Uhifadhi TANAPA, CPA Musa Nassoro Kuji ambaye pia ni mlezi wa HIFADHI SACCOS LTD ametoa wito kwa watumi...