Tuesday, June 30, 2015

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AWAPA FUTARI WATOTO YATIMA

  mail.google.comZ
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimia na baadhi watoto yatima kutoka vituo mbalimbali vya malezi aliowaalika kupata futari katika viwanja vya ikulu-Juni 29, 2015.
picha na Freddy Maro  
mail.google.comV
mail.google.com
Baadhi ya watoto yatima kutoka katika vituo mbalimbali vya malezi mkoa wa Dar es Salaam wakipata futari katika viwanja vya ikulu.

TANZANIA YAPONGEZWA KWA KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO

Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.

Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk. Jama Gulaid, akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk. Jama Gulaid, akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Ofisa Mwakilishi Makao Makuu ya Haki za Binadamu duniani, Dk. Jyoti Sanghera.
Ofisa Mwakilishi Makao Makuu ya Haki za Binadamu duniani, Dk. Jyoti Sanghera.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Ofisa Mwakilishi Kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Ofisa Mwakilishi Kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Ofisa Mwakilishi wa Shirika la Afya Ulimwenguni nchini (WHO), Dk. Rufaro Chatora akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Ofisa Mwakilishi wa Shirika la Afya Ulimwenguni nchini (WHO), Dk. Rufaro Chatora akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Ofisa mwakilishi kutoka Umoja wa Mataifa (UN), Dainius Puras akizungumza kwenye mkutano huo.
Ofisa mwakilishi kutoka Umoja wa Mataifa (UN), Dainius Puras akizungumza kwenye mkutano huo.
Mmoja wa waratibu wa mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania akitoa mwongozo wa majadiliano.
Mmoja wa waratibu wa mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania akitoa mwongozo wa majadiliano.
Ofisa Habari wa Kituo cha Taarifa cha Umoja wa Mataifa (UN), Stella Vuzo akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari vilipozungumza na viongozi wawakilishi walioshiriki katika mkutano huo.,
Ofisa Habari wa Kituo cha Taarifa cha Umoja wa Mataifa (UN), Stella Vuzo akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari vilipozungumza na viongozi wawakilishi walioshiriki katika mkutano huo.,
Ofisa Mwakilishi Makao Makuu ya Haki za Binadamu duniani, Dk. Jyoti Sanghera (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa majadiliano. Wengine ni waofisa mbalimbali walioshiriki mkutano huo wa majadiliano.
Ofisa Mwakilishi Makao Makuu ya Haki za Binadamu duniani, Dk. Jyoti Sanghera (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa majadiliano. Wengine ni waofisa mbalimbali walioshiriki mkutano huo wa majadiliano.
Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa majadiliano. Akiwa na Maofisa wawakilishi kutoka taasisi anuai za kimataifa zilizoshiriki majadiliano hayo.
Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa majadiliano. Akiwa na Maofisa wawakilishi kutoka taasisi anuai za kimataifa zilizoshiriki majadiliano hayo.
…………………………………………………………………………
Na Joachim Mushi, Dar es Salaam
TANZANIA inajivunia mafanikio makubwa ya kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito pamoja na idadi ya watoto chini ya miaka mitano wanaopoteza maisha kila mwaka. Mafanikio hayo yameifanya Tanzania kutolewa mifano kimataifa ikiwa ni kati ya nchi zilizovuka malengo ya kupunguza idadi hiyo vifo iliyojiwekea kuzifikia.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan Mmbando katika hotuba yake iliyosomwa na mwakilishi wake akifungua mkutano wa majadiliano na wadau mbalimbali wa utetezi wa haki za binadamu unaokutana kuangalia namna ya kupunza idadi ya vifo vinavyotokana na uzazi na vile vya watoto chini ya miaka mitano.
Majadiliano hayo yanayofanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili huku yakijikita kuangalia namna wadau wa haki za binadamu wanavyoweza kuchangia katika kuboresha huduma za afya na hatimaye kumlinda mtoto chini ya miaka mitano na vifo kwa ujumla.
Dk. Mmbando alisema Tanzania imefanikiwa kupunguza vifo vya uzazi na watoto, kutoka idadi ya vifo 166 vilivyokuwa vikitokea kwa kila akinamama 1,000 wanaojifungua mwaka 1990 na kupungua hadi kufikia idadi ya vifo 54 kwa kila akinamama 1,000 mwaka 2012.
Alisema mafanikio hayo ni makubwa kwani yalivuka malengo iliyokuwa imejiwekea, huku nchi ikitolewa mfano kati ya mataifa yaliyofanikiwa kiasi kikubwa kupungu vifo vya kesi za uzazi na huduma za afya kwa ujumla.
Aidha pamoja na hayo alisema bado kuna changamoto mbalimbali za upatikanaji wa huduma za afya kutoka eneo moja hadi lingine, hasa maeneo ya vijijini jambo ambalo Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali inakabiliana na changamoto hizo.
Alizishukuru taasisi za Umoja wa Mataifa (UN) kwa msaada zinazoutoa kupitia taasisi zake mbalimbali kuisaidia Serikali ya Tanzania kuboresha huduma za afya katika nyanja tofauti, jambo ambalo ndio chachu ya mafanikio zaidi.
Awali akizungumza katika ufunguzi wa mkutano huo, Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk. Jama Gulaid, aliipongeza Tanzania kwa mafanikio makubwa iliyoyapata katika kupunguza vifo vya uzazi pamoja na watoto chini ya miaka mitano na pia kuwalinda watoto katika kupata huduma bora za afya.
Aliongeza kuwa mafanikio hayo yanatokana na uongozi mzuri wa Serikali pamoja na nia thabiti ya viongozi kutambua tatizo na utayari wa kulisimamia kuhakikisha linapata ufumbuzi, lakini pia usalama wa raia na shughuli zao.
“…Napenda nitumie nafasi hii kuwasilisha shukrani na dhati kutoka UNICEF kwa Wananchi wote wa Tanzania kwa kuendelea kulinda haki za watoto, nawapongeza kinamama, nawapongeza kinababa na viongozi kwa ujumla kwa kulilinda hili…kimsingi tunaitaji mchango wenu kufanikiwa zaidi,” alisema Dk. Gulaid akiwahutubia washiriki wa mkutano huo.
Mkutano huo wa siku mbili unashirikisha wajumbe na wawakilishi kutoka taasisi za kimataifa na kitaifa zinazoshughulikia masuala ya haki za binadamu, afya na watoto umeandaliwa na Tume ya Kimataifa ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa kushirikiana na Taasisi za Umoja wa Mataifa.
*Imeandaliwa na Mtandao wa www.thehabari.com

MSIKITI WA GADDAFI DODOMA WAMSHUKURU MEMBE

SONY DSC
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabani akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (wa pili kushoto), kwa waumini wa Msikiti wa Gaddafi mkoani humo jana, wakati waumini hao walipomwita kwa ajili ya kumshukuru kutokana na jitihada zake katika kuwezesha ujenzi wa msikiti huo uliojengwa kwa ufadhili wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, marehemu Muammar Gaddafi.
SONY DSC
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabani (kulia) akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (katikati), kwa waumini wa Msikiti wa Gaddafi mkoani humo jana, wakati waumini hao walipomwita kwa ajili ya kumshukuru kutokana na jitihada zake katika kuwezesha ujenzi wa msikiti huo uliojengwa kwa ufadhili wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, marehemu Muammar Gaddafi. Kushoto ni Diwani wa Kwadelo, Alhaj Omary Kariati.
Picha zote na John Badi
SONY DSC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akizungumza na waumini wa Msikiti wa Gaddafi mkoani Dodoma jana, wakati waumini hao, walipomwita kwa ajili ya kumshukuru kutokana na jitihada zake katika kuwezesha ujenzi wa msikiti huo uliojengwa kwa ufadhili wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, marehemu Muammar Gaddafi.
SONY DSC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kushoto), akibadilishana mawazo na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabani, wakati waumini wa Msikiti wa Gaddafi mkoani Dodoma, walipomwita jana kwa ajili ya kumshukuru kutokana na jitihada zake katika kuwezesha ujenzi wa msikiti huo uliojengwa kwa ufadhili wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, marehemu Muammar Gaddafi. Kulia ni Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA), Mkoani humo, Zidikheri Swedy Kheri.
SONY DSC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (wa pili kushoto) na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabani (kushoto), wakishiriki katika chakula cha usiku kilichoandaliwa na waumini wa Msikiti wa Gaddafi mkoani Dodoma jana, wakati walipomwita kwa ajili ya kumshukuru kutokana na jitihada zake katika kuwezesha ujenzi wa msikiti huo uliojengwa kwa ufadhili wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, marehemu Muammar Gaddafi.
SONY DSC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akiagana na  waumini wa Msikiti wa Gaddafi mkoani Dodoma jana, wakati waumini hao walipomwita kwa ajili ya kumshukuru kutokana na jitihada zake katika kuwezesha ujenzi wa msikiti huo uliojengwa kwa ufadhili wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, marehemu Muammar Gaddafi. Kushoto ni Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabani.
SONY DSC

NYALANDU AKAMILISHA UDHAMINI MKOANI SINGIDA

ny1
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na mkewe Faraja, wakiwa wamezungukwa na umati mkubwa wa watu wakati alipokwenda kuomba udhamini kwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Ilongero, Jimbo la Singida Kaskazini mkoani Singida, juzi. Katika tukio hilo maelfu ya wananchi walijitokeza kutaka kumdhamini katika harakati zake za kuwania kuteuliwa na CCM kuwania urais. Nyalandu ambaye pia ni mbunge wa jimbo hilo, lakini aliwataka radhi na kuomba kudhaminiwa na wanachama 45 tu kama matakwa ya CCM yanavyoelekeza.
ny2
KATIBU wa CCM Wilaya ya Singida, Mwamvua Kilo, akizungumza wakati akimkaribisha Nyalandu kuzungumza na maelfu ya wananchi.
ny3
Nyalandu akizungumza na wananchi
ny4
WANANCHI na wanachama wa CCM wakisikiliza kwa makini wakati    Nyalandu akizungumza masuala mbalimbali na kutumia fursa hiyo kuhamasisha umoja na mshikamani ndani ya Chama.
ny5
WANANCHI na wanachama wa CCM wakisikiliza kwa makini wakati    Nyalandu akizungumza masuala mbalimbali na kutumia fursa hiyo kuhamasisha umoja na mshikamani ndani ya Chama.
ny6
WANACHAMA wa CCM wakiimba nyimbo wakati Nyalandu alipokuwa akiingia kwenye viwanja vya Ilongero kuomba udhamini
ny7ny8
VIONGOZI wa dini mkoani Singida, wakimpa Nyalandu mkono wa pongezi baada ya kutoa hotuba iliyokonga nyoyo za wananchi wakati alipokamilisha kazi ya kuomba udhamini. Mgombea huyo amepata wadhamini katika mikoa yote nchini.
ny10
UMATI ukimsikiliza Nyalandu

MWILI WA MKE WA MWANAHABARI THOBIAS MWANAKATWE WAAGWA JIJINI DAR, KUZIKWA KARATU MKOANI MANYARA

 Mhariri wa Gazeti la Nipashe, Jesse Kwayu (kushoto), na waombolezaji wengine wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa mke wa mwanahabari wa Kampuni ya The Guardian, Thobias Mwanakatwe, Levina Genda wakati wakilipekeka kwenye gari tayari kwa safari ya kwenda Karatu mkoani Manyara kwa mazishi yatakayofanyika leo.
Mwanahabari wa Kampuni ya The Guardin Ltd, Thobias Mwanakatwe akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa mke wake, Levina Genda wakati wa ibada ya kumuaga iliyofanyika Hospatali ya Amana Dar es Salaam jana. Mke wa Mwanakatwe alifariki kwa kugongwa na gari maeneo ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mwishoni mwa wiki.
 Waombolezaji wakiwa kwenye ibada ya kumuaga Levina Genda, iliyofanyika Hospitali ya Amana Ilala Dar es Salaam jana asubuhi.
 Hapa ni huzuni umetawala.
 Wafanyakazi wenzake na Thobias Mwanakatwe wa Kampuni ya The Guardian wakiwa wamejiinamia kwa huzuni.
 Thobias Mwanakatwe (katikati), akiwa na wafanyakazi wenzake waliofika kumfariji.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Levina na waombolezaji wengine wakiwa kwenye ibada ya kumuaga mpendwa wao.
 Kiongozi wa dini kutoka kanisa la Katoliki akiongoza ibada ya kumuombea marehemu.
 Ibada ikiendelea.
 Mwakilishi wa wanahabari kutoka mkoani Mbeya ambako Mwanakatwe alikuwa akifanyakazi kabla ya kuhamia Dar es Salaam, Patrick Kosima akitoa akizungumza katika ibada hiyo kabla ya kutoa rambirambi ya sh.220,000.
 Mhariri wa Gazeti la Nipashe, Jesse Kwayu (katikati), akizungumza katika ibada hiyo wakati akiwasilisha salamu za rambirambi za Kampuni ya The Guardian.
 Wafanyakazi wa Kampuni ya The Guardian wakitoa heshima za mwisho kwa wifi yao, Levina Genda. 'Hakika ni huzuni tupu'
Jeneza likiingizwa kwenye gari tayari kwa safari ya kwenda Karatu kwa mazishi.