Friday, December 04, 2015

MKURUGENZI MKUU NHC AZUNGUMZIA UMUHIMU WA MIKOPO YA NYUMBA KONGAMANO LA WAHANDISI

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza kwenye kongamano la 28 la Taasisi ya Wahandisi Tanzania (Institution of Engineers Tanzania – IET) juu ya mchango wa sekta ya fedha na mikopo ya nyumba katika kuimarisha sekta ya ujenzi wa nyumba endelevu za gharama nafuu nchini. Kongamano hilo linalofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam linafanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere. IET ni Taasisi inayojitegemea iliyoundwa mwaka 1977, ikiwa na lengo la kuimarisha fani ya Uhandisi hapa nchini. Taasisi hii tayari ina jumla ya wanachama 3,000 kutoka katika sekta mbalimbali hapa nchini.


  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza kwenye kongamano la 28 la taasisi ya Wakandarasi Nchini (IET) juu ya mchango wa sekta ya fedha katika kuimarisha sekta ya ujenzi wa nyumba endelevu za gharama nafuu nchini. Kongamano hilo linalofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam linafanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere.
  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza kwenye kongamano la 28 la taasisi ya Wakandarasi Nchini (IET) juu ya mchango wa sekta ya fedha katika kuimarisha sekta ya ujenzi wa nyumba endelevu za gharama nafuu nchini. Kongamano hilo linalofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam linafanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere.


Washiriki wa kongamano la 28 la Taasisi ya Wakandarasi Nchini (IET) juu ya mchango wa Wahandisi katika kujenga Mazingira Endelevu kwenye ujenzi wa nyumba za gharama nafuu nchini Kongamano hilo linalofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam linafanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere.
 Baadhi ya Washiriki wa kongamano hilo kwakiwa katika banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa NHC
  Baadhi ya Washiriki wa kongamano hilo kwakiwa katika banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa NHC
 Baadhi ya Washiriki wa kongamano hilo kwakiwa katika banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa NHC



No comments: