Thursday, August 13, 2015

NHIF YAWAPA SOMO MABLOGGER KUHUSU KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA

1
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) Bw, Rehani Athumani akifungua semina ya kati ya mfuko huo na Mablogger  wanachama wa Chama habari za mitandao ya kijamii Tanzania Bloggers Nertwork TBN inayofanyika katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu Kurasini TEC jijini Dar es salaam,  Katika semina hiyo mablogger hao wameaswa kujiunga na huduma ya KIKOA ili kujihakikishia huduma bora za afya zinazotolewa na mfuko huo kupitia bima hiyo, Katika picha kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mablogger TBN Bwana Joachim Mushi na kushoto ni Katibu wa Chama hicho Bi. Khadija Khalili.
2
Mhariri wa mtandao wa Bagamoyo Newas Bw. Sayed Abdul akitoa shukurani kwa niaba ya Mablogger mara baada ya mgeni rasmi kufungua semina hiyo inayofanyika kwenye ukumbi wa Baraza la Maaskofu.
3
Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti akizungumza katikasemina hiyo wakati alipokuwa akitoa mada kwa wana TBN inayofanyika kwenye ukumbi wa Baraza la Maaskofu.
4
Mmiliki wa Blogu ya K-VIS Blog Khalfan Said akishiriki katika semina hiyo pamoja na washiriki wengine.
5
Baadhi ya mablogger wakishiriki katika semina hiyo.
6
Robert Okanda kushoto na baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada mbalimbali.
IMG_5316
Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti kulia Rachel Palangyo katikati na John Kitime  wakiwa katika semina hiyo.

No comments: