Monday, January 30, 2012

Jengo jipya la AU






Jengo jipya la Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU) lililozinduliwa na Rais wa China, Bw Hu Jintao jijini Addis Ababa jana, Januari 29, 2012. Jengo hilo ambalo limegharimu mamilioni ya dola za Kimarekani, limejengwa kwa udhamini wa China. PICHA NA IKULU